Chamayai

From Wikipedia, the free encyclopedia

Chamayai
Remove ads

Chamayai ni spishi za nyoka wasio na sumu wa jenasi Dasypeltis katika familia Colubridae. Spishi zote zinapatikana katika Afrika.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Nyoka hawa sio warefu sana, kwa wastani sm 50-80 lakini kadhaa wanaweza kufika m 1.15. Rangi yao ni nyeusi, kijivu, kahawia au nyekundu na wana madoa au mabaka mara nyingi.

Chamayai hula mayai tu. Kwa hivyo wanatokea katika maeneo yenye miti mingi ambayo juu yao ndege wajenga matago yao. Wana vetebra kadhaa katika shingo zinazichomoza ndani ya koromeo. Baadha ya kumeza yai zima nyoka abinya koo lake na kutoboa yai kwa vetebra zile. Kisha akama uowevu wa yai na kutapika vipande vya ganda.

Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Marejeo

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chamayai kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads