Charambe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Charambe ni kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 15117.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 38,587 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 83,401 waishio humo.[2]

Changamoto inayosumbua kata ya Charambe ni umeme na barabara pamoja na kukosekana kwa hospitali.

Tatizo lingine ni msongamano wa nyumba na shule za msingi na sekondari kukosa madarasa na madawati ya kutosha.

Kata ya Charambe ina shule za msingi 4 na shule ya sekondari 1.

Mwaka 2015 katika shule ya Nzasa kulitokea ajali ya mkorosho kangushwa na upepo. Katika ajali hiyo mtoto mmoja aliangukiwa lakini alipona. Maana halisi ya jina la shule Nzasa ni chanzo cha maji.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads