Chitungwiza
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chitungwiza ni mji wa Zimbabwe, kilometa 9 upande wa kusini wa mji mkuu Harare. Mwaka 2022 ulikuwa na wakazi 371,000[1]. Walio wengi wanafanya kazi Harare kwa sababu kuna nafasi chache tu za ajira.

Chitungwiza ilipata hadhi ya manispaa mwaka 1981 na ni wilaya mojawapo kati ya tatu za mkoa wa Harare. Asili yake ni mitaa mitatu ya Seke, Zengeza na St Marys iliyojengwa wakati wa ubaguzi wa rangi kama makazi ya Waafrika wasioruhusiwa kukaa Harare penyewe.
Siku hizi Chitungizwa ni mji wa kukua haraka Zimbabwe. Kiwanja cha ndege cha Harare kipo karibu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads