Korogoto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Korogoto
Remove ads

Korogoto ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia Pycnonotidae. Wanafanana na shore waliomo katika takriban kila bustani, lakini wana rangi ya zaituni juu na nyeupe, kijivu au njano chini. Nyembelele ni ndege wengine katika familia hii. Wanatokea misitu na maeneo mengine yenye miti katika Afrika kusini kwa Sahara. Hula matunda na mbegu hasa lakini wadudu pia. Tago lao hujengwa mtini na jike huyataga mayai 2-5.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads