Shore (Pycnonotidae)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Shore (Pycnonotidae)
Remove ads

Shore, shorwe au sholwe ni ndege wadogo wa familia Pycnonotidae ambayo ina korogoto na nyembelele vilevile. Spishi za nusufamilia Muscicapinae zinaitwa shore pia.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Wale wa Pycnonotidae wana rangi ya kahawia au kijivu, pengine nyeusi, na kwa kawaida nyeupe chini. Spishi nyingine zina rangi kali kama buluu na nyekundu. Spishi nyingi zina kishungi.

Shore wanatokea misitu na maeneo mengine yenye miti katika Afrika na Asia. Tago lao hujengwa mtini na jike hutaga mayai 2-5.

Hula matunda na mbegu hasa, lakini wadudu pia.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za Asia

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads