DJ Pooh

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mark Jordan (amezaliwa 29 Juni, 1969 mjini Los Angeles, California), anajulikana zaidi kwa jina lake la kisanii kama DJ Pooh ni mtayarishaji wa rekodi za muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani,[1]mwigizaji wa sauti, mghani, mwandishi muswaada andishi,[2] mwigizaji na mwongozaji wa filamu.[3][4] Anafahamika sana kwa uhusika wake kama "Red" katika filamu ya kwanza ya "Friday" ambayo alicheza na Ice Cube. DJ Pooh alishiriki kuandika "Friday" na alisaidia ujenzi wa wahusika katika filamu hiyo. Akiwa kama mkongwe wa kuchanganya madude katika muziki, amewahi kutayarisha albamu wasanii mbalimbali ikiwa ni pamoja na Ice Cube, Del tha Funkee Homosapien, LL Cool J, Yo-Yo, Tha Dogg Pound , King Tee, na wengine kibao. Mwaka wa 1996, DJ Pooh alitoa msaada wa nguvu katika utayarishwaji wa albamu ya pili ya Snoop Dogg, Tha Doggfather. Albmu ilitunukiwa platinamu maradufu.

Ukweli wa haraka Jina la kuzaliwa, Amezaliwa ...
Remove ads

Diskografia

Maelezo zaidi Taarifa za albamu ...

Filmografia

  • Last Friday kama (mwandishi mwenza)
  • Grow House kama Mwongozaji na Mwandishi
  • Friday kama Red (mwandishi mwenza)
  • The Wash kama Slim (Mwongozaji, mtayarishaji na mwandishi)
  • 3 Strikes kama Trick Turner/Taxi Driver (Mwongozaji na mwandishi)
  • The Boondocks kama Mudpie/Speaker #2/Crowd Member/Laughing Funeral Attendee (sauti tu)
  • Freaknik: The Musical kama Doela Man (sauti tu)

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads