Desiree wa Besancon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Desiree wa Besancon (kwa Kifaransa: Desiré; kwa Kilatini: Desideratus; aliishi karne ya 5 hivi) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa[1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 24 Novemba 1900[4].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads