Diego wa Alkala

From Wikipedia, the free encyclopedia

Diego wa Alkala
Remove ads

Diego wa Alkala, O.F.M. (San Nicolás del Puerto, Sevilia, Hispania, 1400 hivi - Alcalá de Henares, Hispania, 12 Novemba 1463) alikuwa bruda wa shirika la Ndugu Wadogo aliyeng'aa kwa upendo kwa wagonjwa[1].

Thumb
Mt. Diego akiwa ametoka nje ya nafsi yake mbele ya msalaba, mchoro wa Murillo, 1645-6.
Thumb
Mtakatifu Diego

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Alitangazwa kuwa hivyo na Papa Sixtus V mwaka 1588.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 12 Novemba[2].

Remove ads

Maisha

Alifanya kazi ya umisionari katika visiwa vya Kanaria (karibu na pwani ya Moroko).

Alipohiji Roma kwa Jubilei alijitosa kuhudumia waliopatwa na tauni.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads