Didimo wa Ankara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Didimo wa Ankara (pia: Gemellus; alifariki Ancyra, leo Ankara, nchini Uturuki, 362 hivi) alikuwa Mkristo wa Paflagonia[1] katika Dola la Roma aliyefia imani yake wakati wa kaisari Juliani Mwasi, inasemekana kwa kusulubiwa[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Desemba.[4]
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads