Disibodo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Disibodo
Remove ads

Disibodo (pia: Disibod, Disibode, Disen; Ireland, 619 - Ujerumani, 700 hivi) alikuwa mkaapweke lakini pia korepiskopo mmisionari huko Rhine-Palatino kuanzia mwaka 640[1].

Thumb
Mt. Disibodo alivyochorwa.

Baada ya kupata wafuasi wengi alianzisha monasteri kwenye mto Nahe[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Julai[3].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads