Disibodo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Disibodo (pia: Disibod, Disibode, Disen; Ireland, 619 - Ujerumani, 700 hivi) alikuwa mkaapweke lakini pia korepiskopo mmisionari huko Rhine-Palatino kuanzia mwaka 640[1].

Baada ya kupata wafuasi wengi alianzisha monasteri kwenye mto Nahe[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads