Dominiko wa Silos

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dominiko wa Silos
Remove ads

Dominiko wa Silos, O.S.B. (Rioja, Hispania, 1000 - Silos, Hispania, 20 Desemba 1073) alikuwa mkaapweke aliyefufua monasteri ya Silos kwa kurudisha nidhamu na masifu ya kudumu kwa Mungu akawa abati wake.

Thumb
Mt. Dominiko akitawazwa.

Alijitahidi kueneza urekebisho wa umonaki wa Kibenedikto lakini pia kukomboa Wakristo waliotekwa na Waislamu kama watumwa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 20 Desemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads