Domisyano wa Melitene
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Domisyano wa Melitene (550 hivi - 602) alikuwa askofu wa Melitene, Armenia ya Kale, leo Malatya, nchini Uturuki, kuanzia mwaka 580 hivi hadi kifo chake[1].

Alishughulikia sana uongofu wa Waajemi[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 10 Januari[3].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads