Drostano
Mwanzilishi na abate wa monasteri ya Old Deer huko Aberdeenshire From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Drostano ([pia: Drostan, Drustan, Dustan, Tristan na Throstan; karne ya 6 - karne ya 7) alikuwa mmonaki wa Uskoti, mwanafunzi wa Kolumba wa Iona[1].
Alianzisha na kuongoza monasteri mbalimbali nchini, pamoja na kuinjilisha sehemu za Aberdeen, akamalizia maisha yake upwekeni[2][3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads