Efebo wa Napoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Efebo wa Napoli (pia: Euphebius, Ephebus, Euphemus, Efrimus, Eframo; alifariki karne ya 4) alikuwa askofu wa 8 wa Napoli, Italia anayesifiwa kwa uaminifu na juhudi zake kama mchungaji wa waumini na kwa miujiza yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads