Eleukadio
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eleukadio (alifariki Ravenna, Emilia-Romagna, Italia, karne ya 2) alikuwa askofu wa tatu wa mji huo [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Februari[2].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads