Elmina

Mjini Ghana From Wikipedia, the free encyclopedia

Elmina
Remove ads

Elmina ni mji wa Jamhuri ya Ghana, Mkoa wa Kati. Elmina iko kwenye mwambao wa Ghuba ya Guinea ambayo ni pwani ya kusini ya Ghana, takriban kilomita 12 upande wa magharibi wa Cape Coast.

Thumb
Ngome ya Elmina.

Katika sensa ya mwaka 2013 kulikuwa na wakazi 33,576[1]

Historia

Elmina ilifikiwa na Wareno mara ya kwanza mnamo mwaka 1471 walipokuta biashara ya dhahabu iliyoendeshwa baina ya wenyeji na wafanyabiashara Waarabu. Hivyo wakaita mji "mina" yaani mgodi kwa sababu walichukua hapa dhahabu. Wareno walijenga kituo wakaendelea kushiriki katika biashara hiyo na mwaka 1481 walijenga Ngome ya Elmina (Castelo de São Jorge da Mina). Ngome hiyo ilikuwa makao makuu ya Wareno kwenye pwani ya Afrika Magharibi hadi kutwaliwa na Waholanzi mnamo 1637 walioendelea kuitumia hadi mwaka 1872 walipoiuza kwa Waingereza.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads