Embakomu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Embakomu (Abba 'Ěnbāqom; 1470 hivi - 1565 hivi) alikuwa kiongozi wa Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia,[1] tena mwandishi na mtafsiri wa vitabu [2], k.mf., wa Anqaṣa Amin.[3]
Kama abati wa monasteri muhimu ya Debre Libanos aliitwa Echage, cheo cha pili katika Kanisa hilo, na mkuu wa monasteri zote za Ethiopia, akatazamwa kama mtu mwenye athari kubwa zaidi katika Kanisa kwa sababu askofu alikuwa Mmisri[4], si mwenyeji kama kawaida ya Echage.[5][6][7]
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia na Kanisa la Kiorthodoksi la Eritrea kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads