Ermini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ermini
Remove ads

Ermini (Laon, Aisne, leo nchini Ubelgiji, karne ya 7 - Lobbes, Hainault, Ubelgiji, 25 Aprili, 737) alikuwa padri halafu mmonaki, mwandamizi wa Ursmari kama abati na askofu wa Lobbes.

Thumb
Sanduku la marumaru la masalia ya Mt. Ermini katika kanisa la parokia la Lobbes.

Pamoja na kuzingatia sala, alifanya umisionari mkubwa, akisaidiwa na karama zake za pekee, ukiwemo unabii [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 25 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads