Eulogi wa Edessa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eulogi wa Edessa (alifariki 23 Aprili 387) alikuwa askofu wa Edessa, leo Urfa, nchini Uturuki.
Alipokuwa padri alifukuzwa kutokana na dhuluma ya kaisari Valens, aliyekuwa Mwario, dhidi ya Wakatoliki, akaishi Antinoe, Misri.
Kaisari huyo alipofariki, Eulogi alirudi kwao akafanywa askofu wa jimbo akaliongoza kwa bidii hadi kifo chake klilichotokea siku ya Ijumaa Kuu [1].
Alishiriki Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli (381).
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads