Eusebi wa Milano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eusebi wa Milano
Remove ads

Eusebi wa Milano (alifariki Milano, Italia Kaskazini, 8 Agosti 462) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 449.

Thumb
Mt. Eusebi wa Milano.

Inasemekana alikuwa Mgiriki.

Alipigania imani sahihi na kujenga upya kanisa kuu lililobomolewa na Wahunni[1].

Papa Leo I alimuandikia barua (451).

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Agosti[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads