Fabius
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Fabius (mzaliwa wa Mauretania, alifia dini 303 au 304 huko Mauretania Caesariensis,[1] leo Cherchell, nchini Algeria) alikuwa askari wa Dola la Roma.
Kwa kuwa alikataa kushika bendera ya gavana katika mkutano mkuu wa mkoa, alitupwa kwanza gerezani, halafu alipewa na hakimu adhabu ya kifo kwa sababu alizi kujitambulisha kama Mkristo[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads