Febronia wa Akhmim

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Febronia wa Akhmim (alifariki 9 Oktoba 749) alikuwa bikira wa Syria aliyehamia Misri ili kuwa mmonaki.

Baada ya kuwa abesi wa monasteri yake[1][2], kwa kukubali kukatwa kichwa aliokoa wenzake kutoka hatari ya kubakwa na kuuawa na Waislamu[1][3].

Kanisa la Kikopti linamheshimu kama mtakatifu bikira mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads