Abesi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Abesi
Remove ads

Abesi (kutoka Kiingereza: abbess; pia: abatisa kutoka Kilatini abbatissa) ni cheo cha mmonaki wa kike anayeongoza monasteri kamili; kwa namna fulani kinalingana na kile cha abati na mara nyingi anavaa kama huyo msalaba kifuani kama ishara ya mamlaka yake.

Thumb
Eufemia Szaniawska, Abesi wa Nieśwież, 1768 hivi, Warsaw.
Thumb
Ngao ya abesi.

Abesi ni kwa masista wake mama na mwalimu katika safari ya Kiroho. Kwa ajili hiyo anaongoza sala ya jumuia, anagawa majukumu na anasamehe utekelezaji wa vipengele fulanifulani hasa kwa walio wagonjwa.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads