Flavia Domitila
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Flavia Domitila alikuwa mwanamke wa ukoo wa kifalme huko Roma katika karne ya 1, binti wa Domitila Mdogo, akaolewa na binamu yake konsuli Titus Flavius Clemens[1].

Kwa kuwa alijiunga na Ukristo, alidhulumiwa kama mkanamungu na serikali ya Dola la Roma chini ya mjomba wake kaisari Domitian. Alipelekwa pamoja na wengine kwenye kisiwa cha Ponza alipoteseka hadi kufa.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Mei (Ukristo wa magharibi)[2] au 12 Mei (Ukristo wa mashariki)[3].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads