Flavia Domitila

From Wikipedia, the free encyclopedia

Flavia Domitila
Remove ads

Flavia Domitila alikuwa mwanamke wa ukoo wa kifalme huko Roma katika karne ya 1, binti wa Domitila Mdogo, akaolewa na binamu yake konsuli Titus Flavius Clemens[1].

Thumb
Mchoro wa Andrea di Bonaiuto, "Mt. Agnes na Mt. Domitila", 1365. Galleria dell'Accademia, Florence.

Kwa kuwa alijiunga na Ukristo, alidhulumiwa kama mkanamungu na serikali ya Dola la Roma chini ya mjomba wake kaisari Domitian. Alipelekwa pamoja na wengine kwenye kisiwa cha Ponza alipoteseka hadi kufa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Mei (Ukristo wa magharibi)[2] au 12 Mei (Ukristo wa mashariki)[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads