Flavi Klementi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Flavi Klementi (jina kamili kwa Kilatini: Titus Flavius T. f. T. n. Clemens, alifariki Roma, 95) alikuwa ndugu wa kaisari Domitian, na alikuwa konsuli wa Roma pamoja naye tangu Januari hadi Aprili mwaka 95 BK.
Muda mfupi baada ya kuacha kazi alihukumiwa adhabu ya kifo kama mkanamungu[1], tuhuma iliyotumiwa na Dola la Roma dhidi ya Wayahudi na Wakristo kwa kuwa walikataa ibada za miungu[2][3][4][5].
Anaheshimiwa na Wakristo kama mtakatifu mfiadini[6][7] sawa na mke wake Flavia Domitila.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads