Foxy Brown

From Wikipedia, the free encyclopedia

Foxy Brown
Remove ads

Inga DeCarlo Fung Marchand (amezaliwa 6 Septemba, 1978),[2] anajulikana zaidi kwa jina lake la kisanii kama Foxy Brown, ni rapa, , mwanamitindo, na mwigizaji kutoka nchini Marekani. Anajulikana sana kwa kazi zake za kujitegemea,, vilevile kwa kazi zake kushirikiana na wasanii mbalimbali hasa kwa uhusiano wa muda mfupi na kundi zima la muziki wa hip hop - babu-kubwa The Firm. Amekulia mjini Brooklyn, New York, baba yake mzazi mzee Keith Stahler aliitelekeza familia yake akiwa mdogo mno ili kwenda kuendeleza kazi zake katika studio ya ERAC records. Albamu zake ni pamoja na Ill Na Na mnamo 1996, ikafuatiwa na Chyna Doll mnamo 1999, na Broken Silence mnamo 2001. Vilevile amerap katika albamu ya kundi lake shirikishi mnamo 1997 ya the Firm, The Album, albamu pekee iliyopata kutolewa na kundi hilo hadi sasa. Katika kazi zake, Brown anarekodi mbaya mno ya kutiwa mbaroni na kutumikia kifungo mara kadhaa.

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Majina mengine ...

Baada ya 2001, aliendelea kurekodi mistari kwa ajili yake mwenyewe na wasanii wengine lakini hajatoa albamu yoyote ile; ametoka katika studio ya Def Jam mnamo 2003, hivyo basi inapeleka kughairishwa kwa kutolewa kwa albamu yake ya pili ya Ill Na Na 2. Hata hivyo, alirudi katika studio hiyo mnamo Januari 2005 baada ya Jay-Z kuwa Rais na CEO wa Def Jam na kuingia mkataba upya na kuanza kazi ya albamu yake mpya iliyoitwa Black Roses. Mnamo Desemba 2005, akaanza kusumbuliwa na matatizo ya kutosikia, ambapo ilipelekea kusimama kwa kazi zake hadi kiangazi kilichofuata, miazi michache baada ya kufanyiwa upasuaji. Albamu yake ya nne, ambayo awali ikuwa kandamseto, ilitolewa mnamo mwezi wa Mei 2008 ikiwa fuatiwa na machelewesho kedede yaliyotokana na kifungo cha jela kilichosababishwa na ukorofi wake Brown.

Remove ads

Kazi za muziki

Diskografia

  • Ill Na Na (1996)
  • Chyna Doll (1999)
  • Broken Silence (2001)

Maelezo

  1. An arrest report by the Broward County Sheriff's Office dated 16 Februari 2007, listed her birth year as 1978.[2] An article in The New York Times from 8 Septemba 2007, stated: "Ms. Brown, who turned 29 on Thursday [September 6], had tried to conceal her identity by writing her name as Enga rather than Inga, and giving her date of birth as 1980 rather than 1978."[3] The website AllMusic lists her birth date as 6 Septemba 1979.[4] An Entertainment Weekly article from 9 March 2001 appears to support the 1979 birth year. In her song "I Don't Need Nobody", Marchand raps "1978 / The year I was born"[5]

Filmografia

Maelezo zaidi Mwaka, Jina ...

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads