Fransisko wa Laval

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fransisko wa Laval
Remove ads

Fransisko wa Laval (Montigny-sur-Avre, Perche, 30 Aprili 1623 - Quebec, 6 Mei 1708), alikuwa askofu Mfaransa, wa kwanza katika koloni la New France, ambayo sasa ni sehemu ya Québec, Kanada, na mwanzilishi wa Shirika La Notre Dame wa Montreal.

Thumb
Mt. Fransisko wa Laval.

Aliweka makao makuu katika jiji la Quebec na kwa miaka 50 hivi alistawisha Kanisa Katoliki katika Amerika Kaskazini hadi ghuba ya Meksiko[1].

Alitangazwa rasmi mwenyeheri na Papa Yohane Paulo II tarehe 22 Juni 1980, halafu mtakatifu na Papa Fransisko 3 Aprili 2014.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads