Fridolini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fridolini
Remove ads

Fridolini wa Säckingen (alifariki karne ya 6 au karne ya 7) alikuwa mmonaki mmisionari kutoka Ireland, maarufu kwa kuinjilisha kabila la Waalamani na kuanzisha monasteri mbili huko Säckingen katika nchi ya Ujerumani ya leo baada ya kuzunguka sehemu mbalimbali za Ufaransa [1].

Thumb
Sura yake katika bendera ya Glarus, Uswisi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 6 Machi[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads