Frodobati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Frodobati (kwa Kifaransa: Frobert de Troyes; alifariki 673) alikuwa mwanzilishi[1] na abati wa kwanza wa monasteri ya Moutier-la-Celle huko Troyes katika Ufaransa wa leo[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads