Frodobati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Frodobati (kwa Kifaransa: Frobert de Troyes; alifariki 673) alikuwa mwanzilishi[1] na abati wa kwanza wa monasteri ya Moutier-la-Celle huko Troyes katika Ufaransa wa leo[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads