Fronti wa Perigueux

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fronti wa Perigueux
Remove ads

Fronti wa Perigueux (alifariki Perigueux, Akwitania, leo nchini Ufaransa, karne ya 1 au ya 3) alikuwa Mkristo ambaye anasemekana aliinjilisha mji huo na kuwa askofu wake wa kwanza [1].

Thumb
Mt. Fronti katika dirisha la kioo cha rangi huko Lalinde.

Inasimuliwa aliwahi kukimbilia Misri, lakini labda ni kwa sababu alichanganywa na mmonaki Fronto wa Nitria.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Oktoba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads