GZA
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gary Grice (anafahamika kwa jina lake la kisanii GZA na The Genius; amezaliwa 22 Agosti, 1966) ni msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Pia anajulikana kuwa mwanachama mwanzilishi wa kundi la muziki wa hip hop za kigumu la Wu-Tang Clan na kujumuika nao kwenye albamu kadhaa - na baadaye kuja kama msanii wa kujitegemea na kupata mafanikio kibao.
Remove ads
Remove ads
Diskografia
Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads