GZA

From Wikipedia, the free encyclopedia

GZA
Remove ads

Gary Grice (anafahamika kwa jina lake la kisanii GZA na The Genius; amezaliwa 22 Agosti, 1966) ni msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Pia anajulikana kuwa mwanachama mwanzilishi wa kundi la muziki wa hip hop za kigumu la Wu-Tang Clan na kujumuika nao kwenye albamu kadhaa - na baadaye kuja kama msanii wa kujitegemea na kupata mafanikio kibao.

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Remove ads
Remove ads

Diskografia

Maelezo zaidi Mwaka, Jina ...
Remove ads

Marejeo

Loading content...

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads