Gafsa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gafsa
Remove ads

Gafsa (kwa Kiarabu: قفصة "qafṣah", hapo awali paliitwa Capsa katika Kilatini) ni mji mkuu wa wilaya ya Gafsa huko Tunisia.

Thumb
Mwonekano wa mji wa Gafsa
Thumb
Magofu ya majengo ya Kirumi huko Gafsa

Jina lake limetokana na utamaduni wa kicapsa wa kimesolithiki.

Mwaka 2014 Gafsa ilikuwa na idadi ya wakazi takribani 95,242 [1]. Hivyo ni mji wa tisa kwa ukubwa nchini Tunisia, na upo kilomita 335 kutoka mji mkuu Tunisi.

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads