Galatia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Galatia
Remove ads

Galatia ni jina la mkoa wa zamani katikati ya nchi inayoitwa leo Uturuki.

Thumb
Eneo la Galatia katika rasi ya Anatolia wakati wa Dola la Roma.

Galatia ilipata jina hilo baada ya kuvamiwa na kukaliwa na kabila la Wagali kutoka Ufaransa kupitia Bulgaria ya leo katika karne ya 3 KK.

Mji mkuu wake ulikuwa Ancyra (leo Ankara, mji mkuu wa Uturuki).

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads