Gilberti wa Sempringham
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gilberti wa Sempringham (Sempringham, karibu na Bourne, Uingereza, 1083 hivi -Sempringham, 4 Februari 1189) alikuwa padri halafu abati wa shirika la kimonaki alilolianzisha kwa idhini ya Papa Eujeni III, la pekee kuanzishwa nchini, likiwa na waklero waliofuata kanuni ya Mt. Augustino na wanawake waliofuata ile ya Mt. Benedikto [1].

Alitangazwa na Papa Inosenti III kuwa mtakatifu tarehe 11 Februari 1202.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Februari[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Marejeo ya lugha nyingine
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads