Gilberti wa Sempringham

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gilberti wa Sempringham
Remove ads

Gilberti wa Sempringham (Sempringham, karibu na Bourne, Uingereza, 1083 hivi -Sempringham, 4 Februari 1189) alikuwa padri halafu abati wa shirika la kimonaki alilolianzisha kwa idhini ya Papa Eujeni III, la pekee kuanzishwa nchini, likiwa na waklero waliofuata kanuni ya Mt. Augustino na wanawake waliofuata ile ya Mt. Benedikto [1].

Thumb
Mt. Gilberti.

Alitangazwa na Papa Inosenti III kuwa mtakatifu tarehe 11 Februari 1202.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Februari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads