Guntero

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Guntero (kwa Kicheki Vintíř, kwa Kihungaria Günter, kwa Kijerumani Günther; Bavaria, leo nchini Ujerumani 955 hivi – Prášily, leo nchini Ucheki, 1045) alikuwa mkaapweke msituni baada ya kuachana na anasa za dunia alizozifuata hadi umri wa miaka 50 [1], na kujiunga kwanza na monasteri kama bradha.

Thumb
Jiwe la kaburini la Gunther, (sasa huko Prague).

Alihusika pia na uinjilishaji wa Hungaria [2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 9 Oktoba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads