Gwibati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gwibati
Remove ads

Gwibati (kwa Kilatini: Guibertus; 892 - 23 Mei 962), mzao wa ukoo bora kutoka Ubelgiji wa leo, kwanza alifanya kazi jeshini, halafu akawa mkaapweke, mwanzilishi wa monasteri[1][2] ambayo baadaye aliiweka chini ya kanuni ya Mt. Benedikto, ila mwenyewe alirudia maisha ya upwekeni hadi kifo chake. [3][4][5].

Thumb
Mt. Gwibati.

Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Alitangazwa rasmi mwaka 1211[6] .

Sikukuu yake ni tarehe 23 Mei[7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads