Hestia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Hestia (Kigiriki Ἑστία, Hestía) alikuwa binti wa Titani Krono na Rea na mungu wa kike wa moto wa meko katika mitholojia ya Kigiriki. Analingana na Vesta katika dini ya Roma ya Kale.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads