Hildemarka
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Hildemarka (alifariki Fecamp, 682 hivi) alikuwa abesi wa monasteri wa Fecamp nchini Ufaransa kwa miaka 16 [1].
Huko alimpokea kwa wema na kumtunza askofu Leodegar wa Autun ambaye alikuwa amelemazwa na baadaye akatekwa na kuuawa na adui yake.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads