Hildemarka
abesi wa monasteri wa Fecamp nchini Ufaransa kwa miaka 16 From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Hildemarka (alifariki Fecamp, 682 hivi) alikuwa abesi wa monasteri wa Fecamp nchini Ufaransa kwa miaka 16 [1].
Huko alimpokea kwa wema na kumtunza askofu Leodegar wa Autun ambaye alikuwa amelemazwa na baadaye akatekwa na kuuawa na adui yake.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads