Hukumu ya mwisho

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hukumu ya mwisho
Remove ads

Hukumu ya mwisho, Siku ya hukumu au Siku ya Bwana (kwa Kiebrania "Yohm Ha Din"; kwa Kiarabu يوم القيامة, Yawm al-Qiyāmah au يوم الدين, Yawm ad-Din) ni sehemu ya imani ya dini za Uzoroasta, Uyahudi, Ukristo na Uislamu.

Thumb
Hukumu ya Mwisho kadiri ya Michelangelo ndio mchoro maarufu zaidi wa mada hii. Umechorwa ukutani katika Cappella Sistina, Vatikani. Mbele yake anachaguliwa Papa mpya.
Thumb
Stefan Lochner, Hukumu ya Mwisho, 1435 hivi, Wallraf-Richartz Museum, Cologne, Ujerumani.

Ni siku ambapo Mungu atahukumu kwa pamoja watu wote walioishi duniani.[1]

Fundisho hilo muhimu lilipewa uzito katika sanaa, hasa ya Kikristo, kwa nyimbo na michoro mbalimbali.

Remove ads
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads