Ida
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ida, O.S.B. (kwa Kijerumani Idda, Ita, Itha, Itta, Ydda, Judith, Gutta; Kirchberg, Ujerumani, 1140 hivi – Fischingen, leo nchini Uswisi, 3 Novemba 1226) alikuwa mke wa kabaila, halafu mmonaki akiishi kama mkaapweke karibu na monasteri ya Kibenedikto alipofariki [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Benedikto XIII mwaka 1724.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads