Waigbo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Waigbo (pia: Waibo) ni kabila kubwa la Nigeria kusini mashariki.

Mwaka 2024 walikadiriwa kuwa milioni 38 hivi[1], wakiwemo 15% ya wakazi wote wa nchi hiyo, mbali ya wanaoishi nje yake.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads