Waigbo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Waigbo (pia: Waibo) ni kabila kubwa la Nigeria kusini mashariki.
Mwaka 2024 walikadiriwa kuwa milioni 38 hivi[1], wakiwemo 15% ya wakazi wote wa nchi hiyo, mbali ya wanaoishi nje yake.
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads