Ilemela
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ilemela ni kata ya Manisipaa ya Ilemela (sehemu ya Jiji la Mwanza) katika Mkoa wa Mwanza, Tanzania. Msimbo wa posta ni 33203.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 26,091 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 43,244 waishio humo.[2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads