Isfridi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Isfridi
Remove ads

Isfridi, O.Prem. (1115 - Ratzeburg, Holstein, Ujerumani, 15 Juni 1204) alikuwa askofu wa 3 wa Ratzeburg[1] kutoka shirika la Wapremontree[2], ambaye, huku akidumisha nidhamu ya kitawa, aliinjilisha Wavendi [3].

Thumb
Wat. Ludolfo, Evermodo na Isfridi (kulia).

Ndiyo sababu tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Papa Benedikto XIII alithibitisha heshima hiyo mwaka 1725.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads