Ludolfo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ludolfo
Remove ads

Ludolfo, O.Prem. (alifariki Wismar, Holstein, Ujerumani, 1250) alikuwa askofu wa Ratzeburg kutoka shirika la Wapremontree, ambaye, kwa sababu ya kutetea uhuru wa Kanisa alitupwa katika gereza duni sana kwa amri wa mtemi Alberto I wa Saxony; huko alidhoofika kiafya, kiasi kwamba alipotolewa kifungoni akafariki dunia mara moja[1][2].

Thumb
Mt. Ludolfo (kushoto), pamoja na Wat. Evermodo na Isfridi.

Ndiyo sababu tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Machi[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads