Itamari wa Rochester
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Itamari wa Rochester (kwa Kiingereza: Ithamar, Ythamar; alifariki Rochester, 656/664[1] [2]) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki katika mji huo wa Uingereza, wa kwanza mwenye asili ya Kigermanik.
Aling'aa kwa elimu[3] na ugumu wa maisha[4]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads