Jeremari wa Fly
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jeremari wa Fly (Vardes, karne ya 7 - Saint-Germer-de-Fly, 30 Desemba 658) alikuwa abati wa monasteri aliyoianzisha karibu na Beauvais, leo nchini Ufaransa, mwaka 655, baada ya kuacha cheo chake katika ikulu na familia yake[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waortodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
