Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam
Remove ads

Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam (kwa Kilatini Archidioecesis Daressalaamensis) ni mojawapo kati ya majimbo 36 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Chini yake kuna kanda ya Kanisa yenye majimbo yafuatayo: Zanzibar, Tanga, Morogoro, Mahenge, Ifakara, na Bagamoyo.

Askofu mkuu wake ni Yuda Thaddeus Ruwa'ichi, O.F.M.Cap.

Remove ads

Historia

Uongozi

  • Maaskofu Wakuu wa Dar-es-Salaam
  • Vikari ya Kitume wa Dar-es-Salaam
    • Edgar Aristide Maranta OFMCap (1930 – 1953)
    • Joseph Gabriel Zelger OFMCap (1923 – 1929)
    • Thomas Spreiter OSB (1906 – 1920)
    • Cassian Spiß OSB (1902 – 1905)
  • Prefekti ya Kitume wa Dar-es-Salaam
    • Padri Maurus Hartmann OSB (1894 – 1902)
    • Padri Bonifatius Fleschutz OSB (1887 – 1891)
Remove ads

Takwimu

Baada ya kumegwa, eneo la jimbo lina kilometa mraba 39,849, ambapo kati ya wakazi 6,907,307 Wakatoliki ni 1,800,395 (sawa na 26.1%).

Parokia ziko 147, zikihudumiwa na mapadri 365 (110 wanajimbo na 255 watawa), watawa wanaume wasio mapadri ni 42. Masista kabla ya jimbo kumegwa walikuwa 669.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads