Majimbo ya Ethiopia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Majimbo ya Ethiopia ni vitengo vikuu vya kujitawala chini ya ngazi ya kitaifa katika muundo wa shirikisho la Ethiopia.

Kuna majimbo 9 yanayogawiwa kwa msingi wa lugha kuu zinazotumiwa katika jimbo pamoja na majiji 2 yenye hadhi ya jimbo (astedader akababiwach, umoja: astedader akabibi) ambayo ni Addis Ababa na Dire Dawa.

Hii ni orodha ya Majimbo (wingi - kililoch; umoja – kilil) ya Ethiopia:

Orodha

Maelezo zaidi Ramani, Jimbo ...
Remove ads

Tazama pia


Maelezo zaidi ya Ethiopia ...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads