Majimbo ya Ethiopia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Majimbo ya Ethiopia ni vitengo vikuu vya kujitawala chini ya ngazi ya kitaifa katika muundo wa shirikisho la Ethiopia.
Kuna majimbo 9 yanayogawiwa kwa msingi wa lugha kuu zinazotumiwa katika jimbo pamoja na majiji 2 yenye hadhi ya jimbo (astedader akababiwach, umoja: astedader akabibi) ambayo ni Addis Ababa na Dire Dawa.
Hii ni orodha ya Majimbo (wingi - kililoch; umoja – kilil) ya Ethiopia:
Orodha
Remove ads
Tazama pia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads