Jiminyano wa Modena

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jiminyano wa Modena
Remove ads

Jiminyano wa Modena (Cognento, Modena, Emilia-Romagna, Italia, 15 Januari 312 - Modena, 31 Januari 397) alikuwa askofu wa mji huo wa Italia Kaskazini kuanzia mwaka 342/344 ingawa kwanza alikimbia jukumu hilo alipochaguliwa akiwa bado shemasi tu[1].

Thumb
Mt. Jiminyano, alivyochorwa na Simone Martini, Fitzwilliam Museum, Cambridge.

Alimaliza Upagani jimboni na kupambana na Uario ulioenea sana huko akishirikiana na Ambrosi wa Milano.

Pia alipata umaarufu kwa kufukuza pepo hata akaitwa Konstantinopoli akaponye binti kaisari.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads