Jiminyano wa Modena
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jiminyano wa Modena (Cognento, Modena, Emilia-Romagna, Italia, 15 Januari 312 - Modena, 31 Januari 397) alikuwa askofu wa mji huo wa Italia Kaskazini kuanzia mwaka 342/344 ingawa kwanza alikimbia jukumu hilo alipochaguliwa akiwa bado shemasi tu[1].

Alimaliza Upagani jimboni na kupambana na Uario ulioenea sana huko akishirikiana na Ambrosi wa Milano.
Pia alipata umaarufu kwa kufukuza pepo hata akaitwa Konstantinopoli akaponye binti kaisari.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Januari[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads