George mfiadini

From Wikipedia, the free encyclopedia

George mfiadini
Remove ads

George (kwa Kigiriki: Γεώργιος, Geṓrgios, yaani Mkulima; kwa Kilatini: Georgius; 256/285 - 23 Aprili 303) alikuwa askari wa Dola la Roma ambaye inasemekana alifanya kazi kama afisa katika kikosi cha kumlinda kaisari Diocletian[1].

Thumb
Mchoro wa Hans von Kulmbach (1510 hivi).
Thumb
Mt. George akiua joka (De Grey Hours, 1400 hivi)
Thumb
Picha takatifu wa Urusi (karne ya 14), Novgorod.
Thumb
Mchoro mdogo wa karne ya 13 katika kitabu Passio Sancti Georgii (Verona, Italia).

Huyo alipoanza dhuluma dhidi ya Wakristo, Joji alikataa kuasi imani yake, akauawa huko Lydda (leo nchini Israeli)[2].

Tangu kale anaheshimiwa sana na Wakristo wa madhehebu mengi kama mtakatifu[3].

Hata katika vitabu vya Uislamu anatajwa kama nabii جرجس, Jiriyas (au Girgus)[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Aprili, siku ya kifodini chake[5].

Remove ads

Picha

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads